• Breaking News

    ..

    ..

    Monday 31 October 2016

    SHARIFU AIBUA MAZITO UKUMBI WA DIAMOND


    Sh sharifu Majini amewaombea Wananchi wa dar es salaam wanao sumbuliwa na majini katika harakati hizo sharifu majini alionyesha majaabu katika ukumbi huo kua dua zake zilizo wastajabisha watu wengi kutokana na nguvu zake anazo tumia kuwatibu watu hao.



    Baada ya hapo sharifu majini aliongea na wandishi wa habari alisema kua mimi nafanya haya yote kwa ajili  ya kuwasaidia wananchi waweze kufanya kazi zao wakiwa na afya kamili pia na kuleta maendeleo ya taifa

     



     Wananchi nao walishukuru msaada wa sheikh sharifu majini walitumia nafasi hiyo kumuomba Rais kumunga mkono na kuangalia mchango wa sheikhe huyo anaefanya juhudi ya kulipeleka taifa mbali na magojwa ya kijini  

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI