..

Tuesday, 13 December 2016
Habari
Akizungumza Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Kampuni hiyo inajihusisha na ujenzi wa barabara na makazi Atu Patrick Mwakitwange ameeleza kuwa wameamua kuunga mkono jitihada za serikali kwani eneo hilo la Shimo la Udongo lilitengwa na serikali kwa ajili shughuli za bandari hivyo ujenzi huo utarahisisha shughuli hizo na wataendelea kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli.
Vilevile RC Makonda ameeleza kuwa barabara hiyo inatija kubwa kwa serikali kwani ujenzi wake kwa kiwango cha zege utasaidia malori kupita bila kufanya uharibifu kama ilivyokuwa awali, pia ujenzi huo utasaidia kupunguza foleni.
No comments:
Post a Comment