• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 22 August 2016

    Picha: Jeshi la polisi mkoa wa Singida likifanya majaribio ya silaha


    SeeBait
    Baadhi ya askari polisi mkoani Singida, wametembeza silaha zao kwenye mitaa mbalimbali Singida mjini, kwa ajili ya kuwaonyesha wananchi silaha zilizonunuliwa kwa kodi zao. 

    Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SSP Mayalla Towo, alisema zoezi hilo ni la kawaida na halina uhusiano na jambo lolote.(Picha na Nathaniel Limu).
    Baadhi ya askari polisi mkoa wa Singida wakiwa kwenye paredi muda mfupi kabla hawajaanza kuonyesha silaha zao kwa wakazi wa mji wa Singida.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI