• Breaking News

    ..

    ..

    Sunday, 21 August 2016

    Waziri mkuu wa Singapore kuachia madaraka kutokana na ugonjwa


    Badaye alizungumzia tukio hilo na kumshukru kila mtu kwa kumsubiri
    Image captionBadaye alizungumzia tukio hilo na kumshukru kila mtu kwa kumsubiri

    Waziri Mkuu wa Singapore,Lee Hsien Loong, amesema kuwa mrithi wake awe tayari kuchukua madaraka baada ya uchaguzi Mkuu ujao.
    Ameyasema hayo kwa njia ya Televisheni muda mfupi baada ya kuvunjwa kwa siku ya kitaifa ya kusanyiko lililosimamishwa kwa muda.
    Badaye alizungumzia tukio hilo na kumshukru kila mtu kwa kumsubiri ili aendelee na hotuba yake, na kuongeza kuwa anafahamu kuwa kila mtu aliogopa kile kitakachotokea.
    Ofisi yake imesema Bwana Lee anasumbuliwa na magonjwa ya moyo na upungufu wa maji baada ya kusimama kwa muda mrefu.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI