• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday 31 August 2016

    WAZIRI NAPE AKUTANA NA UMOJA WA VYAMA VYA WAALIMU WA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA(SATO

     Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimia na Rais wa Chama
    cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian Mkoba walipokutana katika ufunguzi wa
    mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
    Afrika (SATO)yaliyofanyika Agosti 30,2016.
     Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
    Moses Nnauye akimsikilza Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian
    Mkoba walipokuwa wakijadiliana maswala mbalimbali ya kimichezo katika ufunguzi
    wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
    Afrika(SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
     Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
    Moses Nnauye (wa pili kushoto) akizungumza na viongozi wa Umoja wa Vyama vya
    Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika (SATO) katika ufunguzi ya mashindano ya
    michezo ya Umoja huo uliofanyika Agosti 30,2016.
     Katibu Mkuu wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Yahya
    Msugwa(kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
    Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana katika ufunguzi wa
    mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
    Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
    Rais wa Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini
    mwa Afrika(SATO) Bw. Henry Kapenda akielezea jambo kwa Waziri wa Habari
    Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana
    katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi
    za Kusini mwa Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI