• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 15 September 2016

    MADEREVA KUTOKA TANZANIA WATEKWA DRC


    Image result for MALOZI YA  YAKIWAKA MOTOSerikali imepokea taarifa za kutekwa kwa malori 12 katika eneo la Namoyo jimbo la Kivu Kusini, Mwa  Jamhuri ya DRC Jana 14 septemba 2016.kati ya maroli hayo
    nane yanamilikiwa na mfanya biashara Bw Azim Dewji na mangine yanamilikiwa na wafanya biashara inchini Kenya..
    kwa taarifa zilizo patikana watekaji ni kikundi cha waasi wa MaiMai.  baada ya kuyateka  magari hayo,Waliwashusha madereva na kuwapeleka porini na
    kisha kuteketeza kwa moto malori manne ambayo yote ni ya Bw.Dewji Waasi hao wametoa saa 24  kuanzia jana saa 10:00 jioni walipwe fedha kiasi cha dola za
     kimarekani 4,000 kwa kila dereva  ili wachiwe .katika tukio hilo madereva wawili wa tanzania wamefanikiwa kutoroka  ndio walio toa taarifaa rasmini kuhusu tukio hilo
    serikali kupitia Wizara ya mambo ya ndani na nje na ushirikiano wa Africa Mashariki  imesha chukua hatua za awali kuwasiliana na serikali ya 
    DRC itakikisha madereva hao wanachiwa haraka zaid wakiwa salama... Imeandikwa na z4news blog ya Jamii 

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI