• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 5 September 2016

    UKAWA ;WAJA NA SIRI NZITO BUNGENI

    Image result for mbunge mboweWakati mkutano wa nne wa bunge la 11 ukitarajiwa kuanza kesho
     mjini dodoma viongozi wa vyama  vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi
    (UKAWA) jana walijifungia kwa saa kadhaa mjini humo kupanga mikakati ya siri ya namna ya kushiriki bunge hili
    ingawa wabunge wa umoja huo wamekuwa wakisusa vikao vya kibunge vinavyoongozwa na
    naibu spika dk, tulia ackson  z4news inafahamu kwamba wabunge wa umoja huo
    watashiriki katika vikao vya mkutano huo habari zilizopatikana jana mjinidodoma
    zinaeleza kuwa moja ya masuala yaliyojadiliwa jana ilikuwa hatma ya mvutano baina
    yao na naibu spika na kusuka mikakati mipya ya kujiimarisha
    tangu mei 30 mwaka huu wabunge wa upinzani wamekuwa wahusika kushiriki vikao vyote
    inavyoongoza na kiongozi huyo wa bunge wakidai kutoridhishwa na mwenendo wa uendeshwaji wa
    chombo hicho cha kutunga sheria wakati vikao vikiwa chini yake

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI