• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 15 September 2016

    Wasanii na viongozi wa WCB waalikwa nyumbani kwa rais



    Jumatano ya Sept 14, 2016 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete aliwaalika wasanii na viongozi kutoka kwenye lebel ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz nyumbani kwake kula chakula cha mchana na kuzungumza kuhusu kazi za muziki na maisha.
    Rais mstaafu JK, mwimbaji Harmonize na mama Salma Kikwete
    Rich Mavoko na Rais mstaafu JK
    Diamond Platnumz na JK
    Rayvanny na JK

    Meneja Sallam SK kwenye picha ya pamoja

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI