• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 27 September 2016

    Waziri Ummy Mwalimu akutana na mabalozi


    ummn
    Balozi wa Italy nchini Tanzania Roberto  Mengoni(kushoto)akiongea na Waziri Ummy Mwalimu
    ……………………
    Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu leo amekutana na Mabalozi wa nchi mbalimbali inchini Tanzania akiwemo Balozi wa Italy Roberto Mengoni,Balozi Thami Mseleku wa Afrika ya Kusini pamoja na Balozi wa Ujerumani Egon Kochanke
    Balozi wa Afrika ya Kusini Thami Mseleku akiongea na Waziri huyo
     Waziri Ummy Mwalimu akiongea na Balozi wa Ujerumani Egon Kochanke

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI