• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 21 September 2016

    WAZIRI WA FEDHA AFANYA ZIARA


    wazi1
    Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kulia), akifanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata (kushoto), kujadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi wakati Waziri huyo alipotembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016.
    wazi2
    Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata (kulia), akimpokea Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto), wakati Waziri huyo alipotembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016, kujadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI