• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 22 October 2016

    HUDUMA YA MCHUNGAJI DANIEL KULOLA WA MWANZA YAFANYIKA MKOANI DODOMA.

    Huduma ya injili iliyofanywa na mchungaji kiongozi wa Kanisa la “EAGT Lumala Mpya Internationa Church ” lililopo Sabsaba Ilemela Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola (pichani), mkoani Dodoma imekuwa ya kufaana na watu wengi wameokoka na kubarikiwa.
    Ni katika mkutano wa injili ulioandaliwa na kanisa la Siloam EAGT Ipagala mkoani Dodoma kwa juma zima ambapo unatariwa kufikia tamati kesho Oktoba 23, 2016.
    Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akiendelea na huduma ya maombezi mkoani Dodoma
    Wengi waliponywa na wanaendelea kuponywa kwa jina la Yesu, vifungo vilivyowatesa kwa muda mrefu.
    Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akifanya maombezi mkoani Dodoma.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI