• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 24 October 2016

    KUPANDA KWA SOKO LA HISA













    Mauzo yamependa kwa 28% kutoka TZS 3 Billioni kufikia TZS 3.8 Billioni.

    Idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa zimepanda mara 19 zaid kutoka laki 5 millioni kufikia 9.8 millioni.

    Makampuni yanayoongoza kwa idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa ni zifwatazo ;

    CRDB............. 95.18%

    MKCB............. 2.92%

    TBL.............. 0.79%

    Ukubwa wa mtaji wa SOKO umepanda kwa 3.53% kutoka 20.8 trillioni hadi 21.56 trillioni

    Mtaji wa makampuni ya ndani umepanda kwa asilimia 0.36% kutoka 8.13 trillioni hadi 8.16 trillioni

    Sekta ya viwanda (IA) imepanda kwa pointi 26.16 imechangiwa na kupanda kwa bei kwenye counta za TBL kwa 0.76%

    Sekta ya huduma za kibenki na kifedha (BI) imeshuka kwa pointi 0.51 imechangiwa nakushuka kwa bei kwenye counta ya DSE kwa 3.13%.

    Sekta ya huduma za kibiashara (CS) wiki hii imebaki kama awali baada ya bei za hisa kwenye counta ya swissport kubaki kwenye TZS 3534.64.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI