• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 21 October 2016

    Mkuu wa mkoa Paul Makonda afafanua juu ya ujio wa mfalme wa morocco


     PICHA NA  Z4NEWS TV
    MKuu wa mkoa amesema ziara hiyo inamanufaa kwa watanzania hivyo fursa ambazo zinaibuliwa kutoka na ujio wa viongozi mbalimbali zitumiwe vizuri katika kuleta manufaa


    Paul Makonda amesema  kua ujio huo  wa mfalme wa morocco utakwenda sambamba kusiani baadhi ya mikataba 11 ikiwemo mahusiano reli ya mchuchuma na liganga ,uvuvi ,kilimo,utali,siasa na mahusiano

    Rais wa jamhuri wa muungano wa tanzania amekua akifanya kazi zake kwa ajili ya manufaa ya watanzania hivyo kila mtu aitumie vizuri fursa hiyo kwa vitu vitakavyo ibuliwa amesibitisha makonda

    kutokana na ujio huo watanzania watakiwa kwenda kumpokea kiongozi huyo ikiwa ni kuonyesha ukarimu wetu wenye amani

    Mkuu wa mkoa amesema mfalme wa morocco atazindua jiwe la msingi la ujenzi wa msikiti wa bakwata


    Ziara hiyo inatarajiwa kuhitimishwa october 27 na kuondoka nchini saa 10 jioni

    Mwandishi wetu  Almish Shabani

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI