• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 25 October 2016

    NYOTA YA SUAREZ YAZIDI KUNG’ARA BARCELONA,ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA

    luissuarezbarcelonabvindonesiau19c29svbm3mipl

    luissuarezbarcelonabvindonesiau19c29svbm3mipl

    Nyota imeendelea kung’ara kwa mshambuliaji wa zamani wa Ajax na Liverpool na pia ni mchezaji wa Timu ya Taifa ya Uruguay na kwa sasa anachezea klabu ya Barcelona,Luiz Suarez,ametangazwa kuwa mwanasoko bora wa dunia kwenye La Liga.

    Amechukua Tuzo hiyo ni kwa ajili ya msimu wa 2015-16 kwa wachezaji wa La Liga na kuwangaragaza wachezaji wengine bora wakiwemo Neymar,Messi na Ronaldo.

    Tuzo hiyo hujumuisha mchezaji anayezungumzwa au aliye gumzo zaidi katika sehemu mbalimbali duniani lakini anatokea kwenye La Liga.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI