• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 18 October 2016

    WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAONYA WANAOWAZULUMU WAKULIMA WA KOROSHO

    dil1
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia wananchi wa kijiji cha Mibure  wilaya ya Ruwangwa na Waziri Mkuu alitumia nafasi hiyo kuwataka wanunuzi wa korosho kufuata taratibu za ununuzi wa korosho  ili wakulima wafaideke na zao hilo vinginevyo serekali hata sita kutaifisha magari pikipiki zitakazo kamatwa kubeba korosho walizo nunua kwakutumia utaratibu wa Kangomba
    Picha na Chris Mfinanga
    dil2
    Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Mibure Mama Majaliwa ameongozana na mumewe katika ziara ya kikazi katika wilaya ya Ruwanga
    dil3
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mke wake Mary Majaliwa wakibadilishana mawazo wakati wapokuwa katika mkutano wa wa hadhara katika kijiji cha Kitandi wilaya ya Ruwanga Mkoa wa Ruwangwa
    Waziri mkuu yupo wilayani Ruwangwa katika Mkoa wa Lindi kwa ziara ya kikaz

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI