NA Z4NEWS BLOG/TV
Akizungumza katika hafla ya kusherehekea miaka 71ya umoja huo Dar es salaam , balozi Mahiga amewataka Vijana nchini kuchangamkie fursa za ajira zinazopatikana katika umoja huo.
Amesema mikakati wanayoiweka kwenye suala la ujenzi wa viwanda litasaidia kupunguza tatizo la ajira kwa Vijana wanaomaliza masomo yao katika vyuo mbalimbali nchini.
" siasa yetu ya kutofungamana katika upande wowote itazidi kuboresha misingi ambayo itaendelea kuheshimiwa ikiwa ni pamoja na utu' haki za binadam.
Amesema mikakati wanayoiweka kwenye suala la ujenzi wa viwanda litasaidia kupunguza tatizo la ajira kwa Vijana wanaomaliza masomo yao katika vyuo mbalimbali nchini.
Ameongeza kuwa suala la amani na ulinzi vitaendelea kudumishwa ikiwamo na Vijana walioko mashuleni kuendelea kufundishwa ili waweze kuelewa umoja wa mataifa kwa undani.
Sherehe za miaka 71 za umoja wa mataifa zimehudhuliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa huku suala la ulinzi ' pamoja na amani likiwa limepewa kipaumbele kwa mataifa mbalimbali
No comments:
Post a Comment