• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 15 November 2016

    JUMIA WAZINDUA KAMPENI MPYA MSIMU HUU WA SIKUKU

    Kampuni inayo unganisha wauzaji wa bidha mbali mbali na kunganisha wateja mbalimbali kupitia  kwenye mitandoa ya kijami (JUMIA)imezindua kampeni kambambe kwa wateja wanao tumia njia hiyo kipindi hichi cha xmass na mwaka mpwa kampeni hiyo itasaidia kupunguza foleni madukani kipindi cha sikuku hizo


    Meneja wa masoko jumia alizungumza na wandishi wa habari kua kapeni hiyo itasaidia kupunguza gharama mbalimbali pia kupunguza foleni madukani pia inawaletea watumiajia wa mtandao  huo wanaweza kuagiza mizigo kutoka popote dunia mzingo utakufikia watakati sahihi ata wale wanaoishi mikoani pia mizingo yao wataipa kwa wakani  alisema

    "kampeni hii imeleta unafuu wakila njia kwa watumiaji wa njia ya jumia kua haina usumbufu unapo hitaji bidha unaweza kutumia njia hii kupitia kwenye smart phonr yako hau kama sio mtumiaji wa smart phone unaweza kupiga simu ofisini kwa msaada wa upatikanaji wa bidha mbali mbali"asilema


    Hata hivyo meneja huyo amewataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo itakayo waletea urasi katika upatikanaji wa bidhaa kama nchi za mbali mbali wanatumia njia hiyo kama uganda kenya marekani uingereza na nchi nyinginezo pia jumia ilipata fursa ya kufanya vizuri sehemu hizo

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI