• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 3 November 2016

    WANANCHI KIJIJI CHA MKALAMA WAUNGA MKONO KAMPENI ZA MKUU WA WILAYA YA HAI


    Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akizungumza na wananchi katika kijiji cha Mkalama waliojitokeza kuunga mkono kampeni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iliyozinduliwa hivi karibuni wilayani humo.
    Baadhi ya Kina mama wakishiriki shughuli ya usombaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa madarasa katika shule mpya ya Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama wilayani Hai.
    Afisa tawala wa wilaya ya Hai,Julieth Mushi akishiriki katika zoezi la ubebaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule hiyo.
    Katibu tawala wa wilaya ya Hai,Upendo Wela akishiriki katika usombaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule mppya ya Kilima Mswaki.
    Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Mkalama wilayani Hai wakishiriki kuvunja na kubeba mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa madarasa katika shule mya ya Kilima Mswaki iliopo kijijini hapo.
    Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akiwa amebeba jiwe kubwa ikiwa ni kuonesha kwa vitendo namna viongozi wa serikali wameamua kushirikiana kwa vitendo na wananchi katika kujiletea maendeleo.
    Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akishiriki katika kuchimba msingi katika shule mpya ya Kilima Mswaki wakati wa kuanza kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa.
    Katibu tawala wa wilaya ya Hai Upendo Wela akishiriki kuchimba msingi katika shule hiyo.
    Sehemu ya Msingi ulianza kuchimbwa katika shule mpya ya Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI