:
Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu akizungumza mara baada ya kutembelea eneo la kukagulia mizgo katika Bandari ya Dar es Salaam iliyopo chini ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) alipokuwa akihitimisha ziara yake ya siku mbili leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Mhandisi Deusdedit Conatus Vitalis Kakoko.







No comments:
Post a Comment