• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 25 November 2016

    WIZARA YA AFYA YAPOKEA VIFAA VYA UCHUNGUZI WA MACHO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 300.2 .

    uchu1
    Waziri wa Afya, MaendeleoyaJamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu wa pili kulia akipokea Dubini ya kufanyia operesheni ya macho kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Standard Chartered  Bw. Sanjay Rughani watatu kushoto wakati wa kukabidhi vifaa vya uchunguzi wa macho vyenye thamani ya shilingi milioni 300.2 leojijini Dar es salaam, wa kwa kulia ni Kaimu Mganga Mkuu wa Wizara Dkt. Mohammed Mohammed.
    uchu2
    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu akimkabidhi Kifaa cha uchunguziwa macho Kaimu Mganga Mkuu wa mkoa Dkt. Daisy Majamba kulia wakati wa kukabidhiana vifaa vya uchunguzi wa macho vyenye thamani ya shilingi milioni 300.2 leojijini Dar es salaam.
    uchu3
    Waziri waAfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu kulia akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kukabidhiana vifaa vya uchunguzi wa macho vyenye thamani ya shilingi milioni 300.2 leojijini Dar es salaam.
    uchu4
    Baadhi ya vifaa vya uchunguzi wa macho vilivyokabidhiwa kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto kutoka kwa Benki ya Standard Chartered na Shirika lisilo la kiserikali CBM vyenye thamani ya shilingi milioni300.2.
    Picha Na Ally Daud-Maelezo

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI