• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 11 November 2016

    ZANZIBAR WAZINDUA MAJENGO MAPYA YA WODI YA WATOTO NA KINAMAMA

    uz7uz7
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit Kombo mara alipowasili katika uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya  Kinamama na  Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja leo,[Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz1
    /Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizari ya Afya Nd,Halima Maulid mara alipowasili katika uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya  Kinamama na  Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja leo,[Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz2
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Viongozi wengine mara alipowasili katika uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya  Kinamama na  Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja leo,[Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz3
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chumba cha kulelea Watoto wachanga wakati alipotembelea  majengo mapya ya Wodi ya  Kinamama na  Watoto katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya uzinduzi rasmi leo,(wa pili kulia) mwakilishi wa Ubalozi wa Uholanzi Teresia  Mcha [Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz4
    Baadhi ya mashine za kulelea watoto wachanga zilizomo katika jengo la watoto na kinamama wajawazito yaliyozinduliwa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo, [Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz5
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Hauklend Bw.Eivend Hansen wakikata utepe kuzindua jengo la Wodi ya Watoto wakati wa uzinduzi wa majengo mapya ya Wodi ya  Kinamama na  Watoto uliofanyika  leo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja [Picha na Ikulu.]11/11/2016.
    uz6
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mwakilishi wa Ubalozi wa Norwaya Bw. Victor Mlundo wakati wa kuzindua majengo mapya ya Wodi ya Watoto Kinamama katika Hospitali ya Mnazi mmjoja uliofanyika  leo  [Picha na Ikulu.]11/11/2016

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI