Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ali Salum Hapi, akipokea salm za vijana wa vikundi vya ulini shirikishi, alipowasili kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata ta Msasani, kwa ajili ya kufanya ziara ya kukagua utekelezaji ilani ya CCM na kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata hiyo.. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Kinondo Benjamin Sitta.
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ali Salum Hapi, akikagua vijana wa vikundi vya ulini shirikishi, alipowasili kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata ta Msasani, kwa ajili ya kufanya ziara ya kukagua utekelezaji ilani ya CCM na kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata hiyo
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ali Salum Hapi, akisindikizwa na Meya wa Manistaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta kwenda ukumbini.
Ofisa Mtendaji Kata ya Msasani, Ramadhani Masisenga akitoa maelezo kumkaribisha Hapi kuzungumza naviongozi wa Kata hiyo
Ofisa Tarafa wa Wilaya ya Kinondoni, Stela Nsofe, akitambulisha baadhi ya viongozi waliofuatana na Hapi
Baadhi ya waalikwa na viongozi wakiwa kwenye kikao hicho
Baadhi ya waalikwa na viongozi wakiwa kwenye kikao hicho
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ali Salum Hapi, akijadili jambo na Meya wa Manistaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta baada ya kuwsili ukumbini.
Hapi akisaini kitabuOfisa Mtendaji Kata ya Msasani, Ramadhani Masisenga akitoa maelezo kumkaribisha Hapi kuzungumza naviongozi wa Kata hiyo
Ofisa Tarafa wa Wilaya ya Kinondoni, Stela Nsofe, akitambulisha baadhi ya viongozi waliofuatana na Hapi
Baadhi ya waalikwa na viongozi wakiwa kwenye kikao hicho
Baadhi ya waalikwa na viongozi wakiwa kwenye kikao hicho
















No comments:
Post a Comment