• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 1 December 2016

    MAADHIMISHO YA MIAKA 55 YA UHURU WA TANZANIA BARA

     Pichani  Sanamu ya Askari ikiwa imezungushiwa mapambo ikiwa ni siku nane (8) kabla ya kufikia kilele cha Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara itakayofanyika tarehe 09/12/2016 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni; “Tuunge Mkono Jitihada za Kupingaji Rushwa, Ufisadi na Kuimarisha Uchumi wa Viwanda kwa Maendeleo Yetu”. (PICHA NA: FRANK SHIJA - MAELEZO)



    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI