
zozote zinazohusiana na sheria mpaka wapate ushauri kutoka kwa wanasheria ili kuondoa sintofahamu katika jamii.
akitoa shukrani kwa niaba ya wakuu wa wilaya,mkuu wa wilaya ya temeke Felix Lyaniva amempongeza mkuu wa mkoa kwa maono hayo na kuelekeza kuwa kupatikana kwa wanasheria hao kutasaidia wananchi wenye uelewa mdogo katika jamii.
akizungumza kwa niaba ya wanasheria bi Georgia Kamina amewaahidi wakuu wa wilaya kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu..katika hatua nyingine mkuu wa mkoa ametoa msaada wa shilingi laki mbili kwa andrew komba kwa ajili ya matibabu ya mtoto wake alex komba anayesumbuliwa na uvimbe pamoja na kupooza mwili mzima huku akiahidi kumpa milioni moja kila mwezi.
No comments:
Post a Comment