..
Wednesday, 4 January 2017
Habari
Siku ya jana Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kasim Majaliwa alifanya ziara katika wilaya ya Kigamboni na kutembelea maeneo kadhaa ikiwemo Kiwanda cha Maziwa na Maji cha Watercom na Milkcom ambapo aliwaomba watanzania kununua bidhaa za wazawa kwani zinakuza uchumi wa ndani.
Kuhusu kuzitumia fursa hizo Msemaji huyo Abubakari Faraji ameeleza kuwa watazithamini na kuzifanyia kazi, akieleza mafanikio ya viwanda hivyo kwa pamoja ameeleza kuwa wanazalisha takribani milioni lita za maji na lita 240,000 za maziwa kwa siku, na kueleza kuwa kiwanda kimeajiri zaidi ya wafanyakazi 1800 na endapo changamoto za umeme na miundombinu zitafanyiwa kazi wataajjiri wafanyakazi wengi zaidi hivyo wanaomba serikali iendelee kuwaunga mkono, na wao wataendelea kuwa karibu zaidi na jamii kama walivyojenga wodi ya kisasa kwenye Zahanati ya Kisarawe II.
Home
Breaking News
Habari
BAADA YA ZIARA YA WAZIRI MKUU KATIKA KIWANDA CHA WATERCOM, WAMEAMUA KUSEMA HAYA



No comments:
Post a Comment