• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 8 February 2017

    Kamanda Sirro Kaeleza Kinachoendelea Baada ya Kumkamata Tundu Lissu

    Kamanda wa kanda maalumu ya Dsm,Kamanda Sirro amewaambia waandishi wa habari kuwa bado wanaendelea kumshikilia Tundu Lissu katika  kituo kikuu cha Polisi ikiwa ni siku ya tatu bila dhamana.

    Lengo la kuendelea kumshikilia ni kuendelea kufanya upelelezi wa matamshi yake na kujihakikishia pasi na shaka kuwa Tundu Lissu ana kesi ya kujibu.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI