Mwenyekiti wa bodi ya Parole, Augustine Mrema amesema kuwa vita dhidi ya biashara ya dawa za kulevya itasaidia kupunguza kwa wingi wa wafungwa magerezani kwakuwa watu wengi watakapoacha kujihusisha na biashara hiyo vitendo vya uhalifu navyo vitapungua.
Akitoa tathmini ya utendaji wa bodi hiyo jijini Dar es Salaam, Mrema ametoa wito kwa Watanzania wote kwa kutumia majukwaa mbalimbali kukemea matumizi na bias
h
h
No comments:
Post a Comment