• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 9 February 2017

    Wema Sepetu aachiwa kwa dhamana, Manji na Gwajima watinga polisi

    Image resultAlhamisi hii malkia wa filamu nchini Wema Sepetu ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni tano baada ya kupandishwa kizimbani kwenye mahamaka ya Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka matatu yanayomkabili.

    Wakati huo huo mfanyabiashara maarufu Yusuph Manji na askofu Josephat Gwajima wamewasili katika kituo cha kati cha polisi kwa ajili ya kutii agizo la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paulo Makonda ambapo majina yao yalitajwa Jumatano hii kuwa miongoni mwa majina 65 katika orodha ya watu wanatuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI