• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 23 February 2017

    Wema Sepetu Hodi hodi Chadema

    CHADEMA, kupitia Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kinatarajia kuwakaribisha Wanachama wapya akiwemo Msanii Wema Sepetu.
    Aidha Msanii huyo kwa pamoja na Mama yake Mzazi leo wamemsindikiza Kiongozi huyo Mahakama Kuu kusikiliza kesi ya Kikatiba dhidi ya RC Makonda na Kamanda Sirro.
    Katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, Wema Sepetu akishirikiana na Wasanii wengine walikinadi Chama Cha Mapinduzi(CCM) wakitumia kauli mbiu ya ‘Mama Ongea na 

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI