• Breaking News

    ..

    ..

    Friday 31 March 2017

    DC MUHEZA:AHIMIZA WANAFUNZI KUSOMA MASOMO YA SAYANSI KWA BIDII WILAYANI MUHEZA


    Mkuu
    wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo akitubia
    wananchi wa wilaya ya Muheza na wadau wa elimu  katika maadhimisho ya
    ya Juma la Elimu wilayani Muheza kushoto ni Kaimu Afisa Elimu Msingi
    wilayani Muheza,Stuart Kuziwa
    Kaimu
    Afisa Elimu Msingi wilayani Muheza,Stuart Kuziwa akizungumza katika
    maadhimisho hayo ambayo yalifanyika kwenye viwanja vya Jitegemee
    wilayani humo
    Mkuu
    wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo katika
    akimsikiliza kwa umakini Kaimu Afisa Elimu Msingi wilaya ya
    Muheza,Stuart Kuziwa kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya
    Muheza,Dkt Paul Kisaka
    Kaimu
    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza,Dkt Paul Kisaka akizungumza wakati
    wa maadhimisho hayo kushoto akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya
    Muheza,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo wakati wa maadhimisho
    hayo
    Mkuu
    wa wilaya ya Muheza,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo akikagua maonyesho ya
    Juma la wiki ya Elimu wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kwenye
    viwanja vya Jitegemee wilayani Muheza
    Mkuu
    wa wilaya ya Muheza,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo wa pili kulia
    akikagua maonyesho ya Juma la wiki ya Elimu wakati wa maadhimisho hayo
    yaliyofanyika kwenye viwanja vya Jitegemee wilayani Muheza
    Mkuu
    wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo wa pili
    kutoka kulia akipata maelekezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Kidato cha nne
    Shule ya Sekondari Chief Mang’enya,Janet Justice wakati wa maadhimisho
    ya Juma la wiki ya Elimu 
    Wanafunzi wa Shule za Msingi
    kutoka Maeneo mbalimbali wilayani Muheza wakiwa kwenye maandamano
    kuelekea kwenye uwanja wa Jitegemee ambako kumefanyika maadhimisho ya
    Juma la Wiki ya Elimu.
    Wanafunzi kutoka shule mbalimbali
    wakifuatilia matukio yaliyokuwa yakiendelea kwenye uwanja wa Jitegemee
    wilayani Muheza kunakofanyika J
    uma la Wiki ya Elimu.
    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari
    Mlingano wenye mahitaji maalumu ya ulemavu wa kutokusikia na wale wenye
    ulemavu wa macho wakitumbuiza kwenye maadhimisho hayo wakitumbuiza
    kwenye maadhimisho hayo
    Wanafunzi kutoka shule mbalimbali
    wakifuatilia matukio yaliyokuwa yakiendelea kwenye uwanja wa Jitegemee
    wilayani Muheza kunakofanyika J
    uma la Wiki ya Elimu.
    Wanafunzi kutoka shule
    mbalimbali wakifuatilia
    matukio yaliyokuwa yakiendelea kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani
    Muheza kunakofanyika J
    uma la Wiki ya Elimu.

    Umati wa wanafunzi na wananchi
    wilayani Muheza wakiwa wamejitokeza kwa wingi kushuhudia maadhimisho
    hayo

    Wanafunzi wa Shule ya Msingi
    Muheza wakitumbuiza kwenye maadhimisho hayo

    Wanafunzi wa shule ya Sekondari
    Mkurumuzi wakicheza ngoma kwenye maadhimisho hayo
    Walimu wakishriki kwenye mchezo
    wa kukimbiza kuku kwenye maadhimisho hayo
    Walimu
    wakishinda kwenye mchezo wa kuvuta kamba kwenye kilele cha maadhimisho
    ya Juma la Wiki ya Elimu wilayani Muheza Mkoani Tanga

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI