• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 24 March 2017

    itel watoa zawadi maluum kwa wanafunzi shule ya Mugabe sinza

    Image result for itel simuWatanzania wameaswa kuchangia katika suala la elimu ili kufanikisha wanafunzi  wengi wanapata elimu bora nchini
    Akizungumza Leo katika hafla fupi ya kukabadhi vifaa vya shule Kwa wanafunzi wa sekondary ya mugambe, meneja masoko wa kampuni ya simu ya itel Tanzania Saiphoni Asajile amesema kuwa Leo kampuni yao ilikuwa inatoa vifaa vya shule hasa kwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu.
    Aidha amesema kuwa  wametoa  mabegi 100 na karamu na hii ikiwa ni mwendelezo wa kuwa wanatoa vifaa kwa wanafunzi kwa kila mwezi.
    Kwa upande wake Hamadi Mongomongo ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule za sekondary Mugabe amesema ni vema kwa watu na makampuni binafsi kujitokeza kuwasaidia wanafunzi wenye uhitaji maalumu ili kuwezesha kupata vifaa zaidi vya shule.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI