• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 23 March 2017

    WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI WATEMBELEA MIRADI YA NHC JIJINI DAR ES SALAAM


    _DSC0071
    Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akitoa taarifa ya shirika hilo kwa kamati   ya Bunge  ya Hesabu  za Serikali wakati kamati hiyo ilipotembelea miradi ya shirika hilo iliyopo jijini Dar es salaam, Kamati hiyo imesifu kazi zinazofanywa na shirika hilo kutokana na kuendeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa majengo ya kuuza na kupangisha.
    _DSC0091
    Mh. Haji Mponda Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali akizungumza na Mama Blandina Nyoni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC
    _DSC0107
    Mkurugenzi wa Ubunifu shirika la nyumba la NHC Bw. Issack Peter akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya bunge ya Hesabu za serikali wakati waliptembelea miradi ya shirika hilo inayojengwa jijini Dar es salaam.
    _DSC0119
    Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza na waandishi wa habari wakati Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali ilipotembelea miradi ya shirika hilo.
    _DSC0133
    Wajumbe wa Kamti ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakitembelea mradi wa 711 unaotekelezwa na shirika  hilo uliopo Kawe
    _DSC0145
    Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali ilipotembelea kwenye miradi hiyo.
    _DSC6301
    Mkurugenzi wa Fedha NHC Bw. Felix Maagi akizungumza na mmoja wa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali waliotembelea katika miradi ya NHC.
    _DSC6303
    Wajumbe wa Kamti hiyo Munde Tabwe kushoto na mama Burra wakijadiliana jambo wakati kamati hiyo ilipotembelea katika miradi ya shirika hilo jijini Dar es salaam.
    _DSC6315
    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba Mama Blandina Nyoni akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu na mkurugenzi wa Ubunifu Isaack Peter.
    _DSC6327
    Isaack Peter Mkurugenzi wa Ubunifu NHC akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakati walipotembelea miradi ya shirika hilo jijini Dar es salaam.
    _DSC6341
    Mwenyekiti wa Kamti ya Bunge ya Hesabu za serikali Mh. Haji Mponda akiuliza swali kwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu wakati wajumbe wa kamati hiyo walipotembelea katika miradi ya shirika hilo jana

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI