• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 6 March 2017

    WATAALAM NISHATI JADIDIFU WAFANYA ZIARA KWENYE MIRADI YA UMEME, RUVUMA

    1
    Mkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni ya Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji ya Andoya Hydro Electric Company, Alex Andoya (katikati) akielezea maendeleo ya  kampuni hiyo katika uzalishaji wa umeme mara baada ya wataalam wa nishati jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini kufanya ziara katika kampuni hiyo, Mbinga mkoani Ruvuma ili kujionea maendeleo ya shughuli zake. Wataalam hao wako katika  ziara ya  kukagua miradi ya umeme pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam.
    2
    Mtaalam kutoka Kampuni ya Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji ya Andoya Hydro Electric Company,  Mhandisi Jasper Bubelwa (kulia) akielezea mfumo wa uendeshaji mitambo wa  kampuni hiyo
    3
    Wataalam wa Nishati Jadidifu,  Emillian Nyanda, (wa pili kutoka kulia) na Mhandisi Stephan Kashushura ( wa pili kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji kutoka Kampuni ya Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji ya Andoya Hydro Electric Company mara baada ya kumaliza ziara katika kampuni hiyo. Kushoto kabisa ni Fred Tawete kutoka  Wizara ya Nishati na Madini

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI