
Ameyasema hayo katika ghafla ya mwanamke na uongozi iliofanyika Chuo kikuu jijini dar es salaam Jana
Kwa upende mwengi Mkuu wa wilaya ya ilaala amempogeza Mwana Dada mashuhuli kwa kufanikisha kuanda kongamano hilo alisema"
Unapaswa kuigwa kwa kufanikiwa kuwaunganisha wanawake pamoja ili kuweza kutambau fursa zilizopo nchini kwa asilimia kubwa mwanamke akifanikiwa na familia nayo inafanikiwa "alisema DC Mjema .
Hata hivyo wanawake walio hudhuria katika kongano hilo wapeta fursa ya kuweza kutambua majukuma yanayo paswa kuyafanya ili kuinua maisha yao kiujumla..
No comments:
Post a Comment