• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 6 April 2017

    Wasanii wa filamu wameitaka serikali kuingilia kati soko la filamu tanzania

    Wasanii wa filamu tanzania wameitaka Serikali kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa jijini dar es salaam kusimamia uzaji wa filamu hizo  kutokana na kushuka kwa soko
     
    Wameyasema hayo leo katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam Mh Paul Makonda kutona  na uzaji holela wa CD za nje ya nchi    ambazo zimepekea kuporomosha CD za wasanii wa filamu tanzania  
     
    Hata hivyo RC Makonda amewataka wauzaji wa filamu tanzania kufuata utaratibua ulio andalia na serikali ili kufanikisha swala  la kulipa kodi ''aliseama niawaombe watanzania kwa ujumla tushirikiane katiaka kulijenga taifa na kuawanga mkono wasanii wetu wa nchini kwetu'' 
     
    Kwa upande mwengine mkuu wa mkoa amewataka wananchi wanao uza filamu za nje ambazo hazifuati utaratibu kuacha mara moja.

      

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI