Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, ameahirisha kesi hiyo mpaka June 1, mwaka huu ambapo mahakama itasikiliza maelezo ya awali ya upelelezi huo.
Muigizaji huyo ambaye yupo nje kwa dhamana baada kusota maabusu 7, anadaiwa kukutwa na msokoto wa bangi nyumbani kwake kufuatia msako mkali wa kupambana na dawa za kulevya iliofanywa na ofisi ya mkoa wa Dar es saam
No comments:
Post a Comment