• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 3 May 2017

    Simba hatuiogopi Mbao tunaiheshimu.


    Rais wa  Klabu ya Soka ya  Simba , Evans Aveva amesema kuwa  pamoja na kutoigopa timu mbao wanaiheshimu kutokana na uwezo wao uwanjani.
    Akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu masuala mbalimbali yahusiayo mustakabali wa klubu hiyo amesema kuwa waliwahi kusumbuliwa na Klabu katika mchezo waliokutan  Dar es Salaam ambapo simba haina hofu kuikabili klub hiyo.
    Hata Hivyo Aveva amesema kuwa amesikiktishwa na kuchelewa kupew taarifa za uwanja utakao chezwa fainali ya ligi ya FA ambayo watakutana na timu hiyo ya Mbao kutoka jijini Mwanza

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI