• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 14 June 2017

    GABO NA WEMA WAIBUKA NA KITU KIPYA



    Msanii wa filamu nchini Tanzania Salim Ahmed[gabo zigamba] ametangaza kuleta mabadiliko  ya filamu nchini Tanzania kupitia kampuni yake ya sarafu midia.

      Ameyasema hayo kipindi anazungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam  katika ukumbi wa habari maelezo  kutokana na maandalizi mabovu ya  filamu nchini Tanzania gabo zigamba ameamua kuleta mabadiliko kutoka tasnia hiyo ya filamu ambapo amefanya filamu ya kimataifa inayolenga kuleta mabadiliko nchini.

    ‘’Amesema’’nimeamua kuongeza filamu mpya inayoitwa KISOGO filamu hii imetengenezwa katika hadhi ya kimataifa nan i kwaajili ya wananchi wote na inaongozwa na mimi mwenyewe ;kumbe basi filamu hiiitaanza kuonyeshwa leo hii na ni filamu ya dakiika 30 na dakika 15 bure pia itaendeshwa kwa mfumo wa kitanzania zaidi na itapatwa kwenye simu yako ya kiganjani [mobile] na imebebwa na mimi na wema sepetu.

      Kwa upande mwingine gabo zigamba umefafanua kuwa filamu hii utaipata kiurahisi mkubwa katika simu yako ya kiganjani kupitia app ya uwondo nan i filamu ya dakika 30.dakika 15 bure na dakika15 zilizobaki utachangia kwa ghalama ndogo tu Tshs500 na kuona filamu yote
    na mwandishi  VABY AZRAH  Z4NEWS BLOG

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI