• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 17 June 2017

    Michael Wambura achukua fomu TFF

    Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini  TFF,  Michael wambura amechukua fomu ya kuwania nafasi ya makamu rais.

    Aliyekuwa Katibu Mkuu wa TFF, Michael wambura
    Wambura amechukua fomu hizo leo kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania tayari kuwania hiyo inayoshikiliwa na Warres Karia.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI