Kiwanja cha mpira cha Kianga
Mento ambacho wananchi wanakitumia kwa sherehe za Iddi kikiwa kimejaa
maji Machafu yanayo tiririka kutoka kwenye shimo liliopo pembezoni mwa
uwanja huo na kupelekea kushindwa kufanyika sherehe hizo mwaka huu.
Shimo lililokua likichimbwa
mchanga zamani likionekana kujaa maji machafu ambayo hutiririka kwenye
kiwanja cha siku kuu katika kijiji cha Kianga na kusababisha kushindwa
kufanyika sherehe hizo.(Picha na Abdalla Omar Habari Maelezo Zanzibar.)
No comments:
Post a Comment