• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 4 July 2017

    UHURU WATOA OFFA KIPINDI CHA MSIMU SABASABA

    kampuni ya uhuru saund inatoa offa katiaka kipindi hicho cha msimu wa sabasaba kutona na maonyesho yanayi lenga kuitangaza tanzania kibiashara barani afrika

    akizungumza na z4news mkurugenzi wa kampuni hiyo  Mr Maneno Sanga ameleza kua kupia msimu wasabasaba uhuru imetoa fursa hiyo kwa wananchi wote ili waweze kujipatia bidhaa kirahisi ndani ya msimu huu ''alisema

    lengo la kampuni yangu ni kuwapa watanzania fursa kwa upande vifaa vya miziki abapo itachangia katika swala zima la kijiajiri vijana kiujumla alisema'' Mr maneno Sanga

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI