• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 20 July 2017

    WATUHUMIWA 44 MBARONI MIKONONI MWA POLISI

    Image result for jela pinguJeshi la kanda maalum da es saalam mnao tarehe 18/07/2017 limeanzisha oparesheni maalum  ambayo inalenga kuwakamata wezi wa vifaa vya magari ikiwa  pamoja na wanunuzi wa vifa vya magari vya wizi..
    Katika opareshini hiyo ni endelevu imefanikiwa kuwakamata 44 baaada ya kupekuliwa madukani mwao wamenguduliwa na  vifaa mbalimbali vya magari ambavyo ni vya wizi kama vile side mirrors .taa.milango windows,.
    Aidha jumla ya power windows zilizo kamatwa ni 69, redio ni 21,taa za magazi aina mbalimbali 152,side mirros 150,nk
    Watumiwa wote bado wanaendelea na mahojiano na uchunguzi ili kubaini mtandao wa wote wanaojihusiha na kazi hiyo.Kwa upande mwengine kaimu kamanda  farnatus mkodya DCP amewata majambazi kujisalisha mapema kwani watakampo kamatwa hatua za kishiria zitachukuliwa zaidi yao

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI