Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa
akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Bodi ya
Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar na Uongozi wa Benki ya Watu wa
Zanzibar katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja,ambacho kimejadili mambo mbali mbali ya kiutendaji
Baadhi ya Viongozi katika Benki ya
Watu wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati wa kikao cha
siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini
Unguja kilichojumuisha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango na Bodi ya
Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
ya Benki ya Watu wa Zanzibar alipokuwa kitoa maelezo ya Bodi
yake wakati wa kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wa kikao hicho Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo
pichani) ambacho kilichojumuisha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango
na Uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar
Waziri wa Fedha na Mipango
Dkt.Khalid Salum Mohamed alipokuwa akichangia katika kikao cha siku moja
kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ambacho
kimejadili mambo mbali mbali ya kiutendaji chini ya Mwenyekiti wa kikao
hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein (hayupo pichani) ambacho kimejumuisha Uongozi wa Wizara
ya Fedha na Mipango na Uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar na Bodi
ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar,(kulia) Naibu Katibu
Mkuu Waziri wa Fedha na Mipango Nd,Ali Khamis,
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar Nd, Juma Ameir alipokuwa
akizungumza na kutoa ufafanuzi wakati wa kikao cha siku moja
kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ambapo Mwenyekiti
wa kikao hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)pia kimejumuisha Bodi
ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar,Uongozi wa Wizara ya Fedha
na Mipango na Uongozi wa Benki ya Watu wa Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
11/08/2017
No comments:
Post a Comment