Jeshi la Polisi limemshukuru mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Poul
Makonda kwa kuwapatia eneo la kujenga kituo cha polisi kitengo cha zima
moto na uokoaji wilayani kigamboni.
Akizungumza kaimu kamanda mkuu wa jeshi la polisi kanda maalum ya
Dar es Salaam Benedict kitalika amesema kuwa tunamshukuru sana mkuu wa
mkoa Poul Makonda kwa kutu nimefalijika sana kwa kufika katika eneo
ambalo tumepewa wa mkuu wa mkoa na jeshi la polisi limejivunia
‘’Jeshi la zima moto linashukuru kwa kupatiwa eneo hili kwa aajiri ya kuhakikisha usalama unakuwa wakutoasha’’ Amesema Kitalika.
Hata hivyo, Jeshi la polisi kitengo cha zima moto na uokoaji limesema
kuwa litahakikisha linaleta vifaa vya kutosha ili kulinda mali za
wawekezaji.
No comments:
Post a Comment