• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday 30 September 2017

    Jeshi la polisi Lampongeza Rc Makonda

    Jeshi la Polisi limemshukuru mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Poul Makonda kwa kuwapatia eneo la kujenga kituo cha polisi kitengo cha zima moto na uokoaji wilayani kigamboni.

    Akizungumza kaimu kamanda mkuu wa jeshi la polisi kanda maalum  ya Dar es Salaam Benedict kitalika amesema kuwa tunamshukuru sana mkuu wa mkoa Poul Makonda kwa kutu nimefalijika sana kwa kufika katika eneo ambalo tumepewa wa mkuu wa mkoa na jeshi la polisi limejivunia

    ‘’Jeshi la zima moto linashukuru kwa kupatiwa eneo hili kwa aajiri ya kuhakikisha usalama unakuwa wakutoasha’’ Amesema Kitalika.

    Hata hivyo, Jeshi la polisi kitengo cha zima moto na uokoaji limesema kuwa litahakikisha linaleta vifaa vya kutosha ili kulinda mali za wawekezaji.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI