• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 16 September 2017

    Nyumba ya Zitto Kabwe yateketea kwa moto

    TAARIFA zilizotufikia muda huu ni kuwa nyumba ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe iliyopo  Mwandiga, Kigoma imeungua moto, anaandika Mwandishi wetu.

    Taarifa hizo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya ACT Amani (Ulinzi na Usalama) Mohamed Babu na amesema kuwa hadi sasa Kamati hiyo  inafuatilia zaidi.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI