Afisa Mkuu wa Masuala ya Utangazaji TCRA, Andrew Kisaka amesema kuwa
vituo vingi vya Televisheni vimekuwa vikipiga muziki wa nje ya Tanzania
kuliko ya ndani huku akieleza kuwa muziki wa nje umekuwa ukipigwa zaidi
kuliko ya hapa nchini.
Akizungumza leo katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa habari
uliofanyika katika ukumbi wa Mwl Nyerere wakati akiwasilisha mashauriano
na wadau kuhusu kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) na kanuni za
maudhui mtandaoni.
Mkutano huo uliohudhuriwa na wadau wa habari nchini, Kisaka katua
hatua nyingine aliwasilisha kuwa wameona waweke kanuni ya vipindi vya
Televisheni Interviews(mahojiano) kutorekodiwa na visiwe live ili
anaekuja kutazama viwe vimeandaliwa vizuri.
No comments:
Post a Comment