• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday 28 September 2017

    TCRA yataka muziki wa ndani upigwe asilimia 80 kuliko wa nje

    Afisa Mkuu wa Masuala ya Utangazaji TCRA, Andrew Kisaka amesema kuwa vituo vingi vya Televisheni vimekuwa vikipiga muziki wa nje ya Tanzania kuliko ya ndani huku akieleza kuwa muziki wa nje umekuwa ukipigwa zaidi kuliko ya hapa nchini.

    Akizungumza leo katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa habari uliofanyika katika ukumbi wa Mwl Nyerere wakati akiwasilisha mashauriano na wadau kuhusu kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui) na kanuni za maudhui mtandaoni.

    Mkutano huo uliohudhuriwa na wadau wa habari nchini, Kisaka katua hatua nyingine aliwasilisha kuwa wameona waweke kanuni ya vipindi vya Televisheni Interviews(mahojiano) kutorekodiwa na visiwe live ili anaekuja kutazama viwe vimeandaliwa vizuri.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI