Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi muda huu uwanj a wa ndege wa JNIA, Dar es salaam wakati akitoka Kigoma.
Kwamujibu wa Afisa habari wa chama hicho Abdallah Khamisi amesema Kwa sasa wanasheria wa chama wanafuatilia kujua sababu za kukamatwa kwake

No comments:
Post a Comment