• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 20 September 2017

    Zitto Kabwe akamtwa na Polisi

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi muda huu uwanj a wa ndege wa JNIA, Dar es salaam wakati akitoka Kigoma.
    Kwamujibu wa Afisa habari wa chama hicho Abdallah Khamisi amesema Kwa sasa wanasheria wa chama wanafuatilia kujua sababu za kukamatwa kwake

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI