Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Muandamizi wa Polisi
(SACP), Augusine Ollomi amesema picha zinazoendelea kusambaa mtandaoni
zikionyesha askari Polisi wilayani Ngara Mkoani Kagera wakishirikiana na
wananchi kufukua mwili

Maaskari wakifukua mwili wa Noelina aliyeuliwa na mke mwenza
wa marehemu Noelina Joseph mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa kijiji cha mayenzi wilayani humo ni tukio la kweli.
Noelina Joseph (24) mkazi wa kijiji cha Mayenzi wilayani humo aliyeuawa na mke mwenza jana na kuzikwa kwenye shamba la viazi kutokana na wivu wa kimapenzi baada ya kuolewa na mume mmoja kijini humo
“Ni kweli tukio hilo limetokea huko Ngara na tayari maafisa wetu wapo eneo la tukio ila bado uchunguzi zaidi haujafanyika ndio tunaendelea nao” ,amesema kamanda Ollomi.
Mke mwenza anayetuhumiwa kufanya tukio hilo akiwa chini ya ulinzi wa polisi
Noelina Joseph (24) mkazi wa kijiji cha Mayenzi wilayani humo aliyeuawa na mke mwenza jana na kuzikwa kwenye shamba la viazi kutokana na wivu wa kimapenzi baada ya kuolewa na mume mmoja kijini humo
“Ni kweli tukio hilo limetokea huko Ngara na tayari maafisa wetu wapo eneo la tukio ila bado uchunguzi zaidi haujafanyika ndio tunaendelea nao” ,amesema kamanda Ollomi.


No comments:
Post a Comment