• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 5 December 2017

    JPM aitaka kampuni ya Total kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Total , Momar Nguer kuhusu mradi wa Bomba la Mafuta. Ambapo ameitaka kampuni hiyo kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI