• Breaking News

    ..

    ..

    Sunday, 3 December 2017

    Mbunge wa CUF Ajitoa Uwanachama

    Mbunge wa Jimbo la Kindondoni kwa tiketi ya chama cha CUF , Maulid Said Abdallah Mtulia amejiuzulu uanachama wa chama cha CUF na nafasi zote za uongozi alizokuwa nazo.



    Mtulia anasema sababu kubwa ya yeye kuamua kujiuzulu nafasi ni kwakuwa ameamua kuungana na Rais Magufuli baada ya kuona kwamba anafanya na kutekeleza mambo mengi ambayo upinzani uliahidi kufanya...
    Soma  barua yake hapo chini kwa undani zaidi

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI